• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtama District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mtama

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Ujenzi na Zima Moto
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Maendeleo ya jamii, Jinsia na Watoto
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Ardhi na Mali Asili
      • Afya
      • Utawala na Utumishi
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Nyuki
      • Ununuzi na ugavi
  • Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Utalii
    • Uvuvi
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Kilimo
    • Elimu
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Taarifa
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • PICHA
    • MATUKIO
    • HOTUBA
    • HABARI
  • Mifumo
    • ffars
    • National Sanitation Compaign
      • E-learning
    • Sensa Elimu Msingi
    • Wajasiliamali
    • Government mail System
    • Madeni-Demo

Wakuu wa Shule za Msingi wapata dozi ya Mfumo wa Kitakwimu wa shule(SIS)

Posted on: January 20th, 2019

Mafunzo ya matumizi bora na sahihi ya Mfumo wa taarifa za Shule ya msingi kwa wakuu wa Shule za Msingi (SIS) katika Halmashauri ya Wilaya ya Lindi ni mwendelezo wa Mafunzo mbalimbali ya kuwajengea uwezo 

wakuu hao yanayoandaliwa na program ya EQUIP T katika Mkoa wa Lindi. Mafunzo hayo yamefanyika katika Ukumbi wa Shule ya Msingi Nyangao kuanzia Tarehe 21/01  hadi 24/01/2019, Jumla ya wakuu wa Shule 117 wa Shule zote za Msingi wamehudhuria katika kupata Dozi hiyo. Mafunzo hayo yamewezeshwa na Wawezeshaji 9 kutoka ngazi ya kitaifa wakiongozwa na Ndg Sophia K. Mnyanyi kutoka OR-TAMISEMI, Idara ya Elimu ambaye anashughulikia Takwimu mbalimbali za Shule zote za Msingi.

       Msisitizo mkubwa umetolewa kwa wakuu wa Shule wote wa namna ya uingizaji wa takwimu sahihi na kwa wakati kwa kila inapohitajika kufanya hivyo, aidha kuhuisha takwimu hizo mara pale panapotokea mabadiliko yoyote.

    Katika ufunguzi wa mafunzo hayo Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Lindi Eng. Mbaraka Kilangai, aliwaomba washiriki wote wa mafunzo kuwahi muda wa mafunzo, kuwa wasikivu na kuuliza pale ambapo hapajaeleweka ili kuwa na ujuzi wa kutosha mara wamalizapo mafunzo haya na kuleta mabadiliko chanya ya matumizi sahihi ya kishikwambi katika Halmashauri ya Wilaya ya lindi. nae Afisa Elimu Msingi Wilaya Ndg Danstan J. Ntauka aliendelea kutoa msisitizo kwa washiriki kuwa wavumilivu na kuvitunza vishikwambi vyote kwa kipindi chote cha mafunzo na hata kwenye vituo vyao vya kazi. Kwa mujibu wa taratibu za program kwa yeyote anayepoteza kishikwambi atawajibika kukilipa, hivyo ili kuepuka hilo ni vyema kuvitunza.

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO LA KUITWA KWQENYE USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA MIPAKA YA KATA, VIJIJI NA VITONGOJI HALMASHAURI YA WILAYA YA MTAMA. September 16, 2024
  • MATOKEO YA USAILI KWA KADA ZOTE September 09, 2023
  • MATOKEO YA USAILI WA WATENDAJI MTAMA DC September 09, 2023
  • Angalia yote

Habari mpya

  • KAMATI YA SIASA MKOA WA LINDI YATEMBELEA NA KUKAGUA MIRADI HALMASHAURI YA MTAMA

    May 09, 2025
  • DC MWANZIVA AMEITAKA KAMATI YA AFYA HALMASHAURI YA MTAMA KUONGEZA UHAMASISHAJI KWA WANAUME KUHUSU UMUHIMU WA LISHE

    April 29, 2025
  • DC MWANZIVA ASISITIZA KUDUMISHA MUUNGANO LINDI

    April 26, 2025
  • KAMATI YA AFYA YA MSINGI YATOA ELIMU KUHUSU NYONGEZA YA DOZI YA CHANJO YA POLIO HALMASHAURI YA MTAMA

    April 24, 2025
  • Angalia yote

Video

Risala ya utii kwa Mhe. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Youtube
  • Mfumo wa Elimu Msingi na Sekondari
  • FOMU YA MAOMBI YA LESENI YA BIASHARA
  • Watumishi Portal

Tovuti Mashuhuri

  • Presidential office and Regional Secretariety
  • Electronic Goverment Agent
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Ofisi ya Raisi-UTUMISHI
  • Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya mahali

Wasiliana nasi

    Box 328 Lindi

    Sanduku la Barua: 328 Lindi Dc

    Simu ya mezani: 0222061

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@lindidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya ndani
    • Katazo
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2021 Mtama District Council All rights reserved.